Kamishna
Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Rished Bade akiongea na wadau
kutoka Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) wakati wa semina ya kuwajengea
uelewa kuhusu Sheria Mpya ya Kodi ya Ongezeko la Thamani ya mwaka 2014
iliyoanza kutumika kuanzia Julai 1, 2015, Leo Jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti
wa Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) Dkt. Samuel Nyantahe akimshukuru
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Rished Bade kwa uamuzi wa
kuwakutanisha wadau wa sekta ya viwanda na kuwaelimisha kuhusu Sheria Mpya ya
Kodi ya Ongezeko la Thamani ya mwaka 2014 ili kuweza kuondoa utata kwenye
baadhi ya maeneo yaliyo katika sheria hiyo, Leo Jijini Dar es Salaam.
Wadau
kutoka Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
wakimsikiliza Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Rished Bade
wakati wa semina ya kuwajengea uelewa kuhusu Sheria Mpya ya Kodi ya Ongezeko la
Thamani ya mwaka 2014 iliyoanza kutumika kuanzia Julai 1, 2015, Leo Jijini Dar
es Salaam.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) Leodger Tenga akimpongeza
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Rished Bade baada ya
kumaliza kuwahutubia wajumbe kutoka Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI), leo
Jijini Dar es Salaam.
Afisa
Mwandamizi Toka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Beldom Chaula akiwasilisha
mada kuhusu Sheria Mpya ya Kodi ya Ongezeko la Thamani ya mwaka 2014 wakati wa
semina ya kuwajengea uelewa kuhusu Sheria hiyo iliyoanza kutumika Julai 1, 2015
Leo Jijini Dar es Salaam.
Wajumbe
kutoka Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) wakiuliza maswali kwa wawakilishi
wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhusu Sheria Mpya ya Kodi ya Ongezeko la
Thamani ya mwaka 2014.
Makamu
wa pili wa mwenyekiti kutoka Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) Bw. Pankaj
Kumar akiongea wakati wa semina ya kuwajengea uelewa kuhusu Sheria Mpya ya Kodi
ya Ongezeko la Thamani ya mwaka 2014 iliyoanza kutumika kuanzia Julai 1, 2015,
Leo Jijini Dar es Salaam.
Kamishna
Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Rished Bade akitolea ufafanuzi
baadhi ya hoja zilizoibuliwa na wadau kutoka Shirikisho la Viwanda Tanzania
(CTI) kuhusu Sheria Mpya ya Kodi ya Ongezeko la Thamani ya mwaka 2014, wakati
wa Semina ya kuwajengea uelewa Kuhusu Sheria Hiyo
Afisa
Kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Donasian Assey akitolea ufafanuzi
baadhi ya hoja zilizoibuliwa na wadau kutoka Shirikisho la Viwanda Tanzania
(CTI) kuhusu Sheria Mpya ya Kodi ya Ongezeko la Thamani ya mwaka 2014.
Afisa
Mwandamizi Toka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Beldom Chaula akitolea
ufafanuzi baadhi ya hoja zilizoibuliwa na wadau kutoka Shirikisho la Viwanda
Tanzania (CTI) kuhusu Sheria Mpya ya Kodi ya Ongezeko la Thamani ya mwaka 2014.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) Leodger Tenga akimueleza Jambo
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Rished Bade wakati wa
semina ya kuwajengea uelewa kuhusu Sheria Mpya ya Kodi ya Ongezeko la Thamani
ya mwaka 2014 iliyoanza kutumika kuanzia Julai 1, 2015, Leo Jijini Dar es
Salaam.
Afisa
Mwandamizi Toka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Beldom Chaula akiwaeleza
jambo baadhi ya wadau kutoka Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) wakati wa
semina ya kuwajengea uelewa kuhusu Sheria Mpya ya Kodi ya Ongezeko la Thamani
ya mwaka 2014 iliyoanza kutumika kuanzia Julai 1, 2015, Leo Jijini Dar es
Salaam.
PICHA
NA HASSAN SILAYO -MAELEZO
No comments:
Post a Comment