Baada ya fundi kupewa kazi ya kutengeneza sofa sasa mwenye sofa huyo pichani akikagua mali yake kwa kuhakiki kisawasawa ili achomoke nayo kutoka kwa fundi wake na aendenayo nyumbanii..
Hapa mwenyewe akitupia kijicho cha maono kwenye sofa hilooo..
Hapa akizungumza jambo na fundi wake hayupo pichaniii...
No comments:
Post a Comment