Mkurugenzi
Mkuu wa Benki ya Finca Microfinance, Edward
Greenwood akizungumza mara baada ya kufutali mwishoni mwa wiki baada ya
kujua umhimu wa mwenzi mtukufu wa Ramadhani na kufuturu na waislamu
waliofunga.
Sheikh wa Mkoa wa Dar
es Salaam, Sheikh Alhad Mussa Salum akizungumza mara baada ya kufutari katika futari iliyoandaliwa na Benki ya Finca Microfinance jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Benki ya Finca Microfinance, Edward
Greenwood akizungumza na Sheikh wa Mkoawa Dar
es Salaam, Sheikh Alhad Mussa Salum wakati wakifuturu mwishoni mwa wiki.
Baadhi wa waumini wa dini ya Kiislam wakifuturu katika mwenzi Mtukufu wa Ramadhani futari iliyoandaliwa na Benki ya Finca Microfinance jijini Dar es Salam mwishoni mwa wiki
BENKI ya Benki ya Finca Microfinance kwakutambua
mchango kwa jamii wanayoihudumia katika mwezi mtukufu wa Ramadhani
wammeamua kufuturu na wakazi na wateja wa benki hiyo.
Akizungumza baada yakufuru Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Benki ya Finca Microfinance,
Edward
Greenwood amesema wanatambua umuhimu katika mwezi huu kuwa wanawajibu
kufuru na watu iliwaendelee kupata baraka yakuendelea kukua kwa benki
hiyo.
Amesema
kama benki itaendelea kutoahuduma kwani imekuwa ikikua kwa kasi tangu
kuanza kama taasisi yamikopo na kuweza kufikia benki ni kutokana na
jamii kutambua mchango
wake ambapo imetimiza miaka 18 tangu ilipoanzishwa mwaka 1998.
“Mafanikio haya ya Benki ya Finca Microfinance ni kutokana na mchangowenu
,maoni na ushirikiano wenu bilahivyo tusingewezakufika hapa tulipo”amesema Greenwood.
Nae
Sheikh wa Mkoawa Dar
es Salaam, Sheikh Alhad Mussa Salum amesema benki imetambua umuhimu
katika mwezi mtukufu kwakutoa sehemu yakufuturisha kwakile
wanachokipata.
No comments:
Post a Comment