Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa DCB Balozi Paul Rupia akitoa
nasaha zake kwa wanahisa wa DCB benki waliohudhulia katika mkutano
uliofanyika jijini Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi
Mtendaji wa DCB benki, Edmund Mkwawa akizungumza na wadau wa hisa
katika mkutano uliokutanisha wadau wa hisa ikiwa kwa kipindi chote cha
miaka 13 benki hiyo imepiga hatua na kuwa na matawi 8 Dar es salaam na
mawakala 113 katika mkutano uliofanyika jijini Dar es Salaa jana.
Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa DCB Balozi Paul Rupia akimpa hundi
Afisa Mkufunzi na UTT management & Investor service PLC, Ligwa
Temela katika mkutano uliofanyika jijini Dar es Salaam jana.
No comments:
Post a Comment