Hivi ndivyo hali ilivyo katika maeneo mengi ya jiji la Dar na sehemu zingine nyingi, baada ya mgomo wa mabasi unaoendelea hivi sasa kwa nchi nzima. hapo nauli ni kuanzia mia tano mpaka elfu moja.
Boda boda kwao ndio kama Sherehe, maana hawazuiliwi tena kuingia mjini.
Pikipiki za magurudumu matatu leo hazipakinii mizigo, badala yake zinapakia Abiria.
Huu ndio usafiri pendwa kwa kipindi hiki.
thanks for sharing good information
ReplyDelete