Gavana wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Servicus B.Likwelile
ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali na Makamu
wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Bw. Aly Abou- Sabaa wakisaini
mkataba wa Tsh 137.5 Billion kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo kwa serikali
ya Tanzania. Sherehe hiyo ilifanyika hapa Mjini Abidjan- Ivory coast.
Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Bw.Aly Abou – Sabaa
na Gavana wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara
ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dkt. Servicius Likwelile wakipongezana mara
baada ya kusaini mkataba wa Tshs 137.5 Billoni wa kusaidia kwenye sekta ya umeme
na nishati nchini Tanzania.
Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Bw. Aly Abou-Sabaa
na Gavana wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara
ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dkt. Servicius Likwelile pamoja na wajumbe
waliohudhuria katika hafla ya kutia saini mkataba wq kiasi cha Tsh. 137.5 Billion kwa
ajili ya kusaidia miradi mbalimbali ya maendeleo hasa umeme nchini Tanzania.
No comments:
Post a Comment