HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 27, 2015

Pendekeza kikosi Chako Bora Ligi Kuu 2014/15 katika Kandanda.co.tz

Ingia hapa http://bit.ly/1cgZs2u upendekeze First Eleven yako ya Ligi Kuu Tanzania bara.

Tovuti ya Kandanda.co.tz inawapa nafasi wanakandanda kupendekeza wachezaji 11 kwa nafasi zao na kocha, ili kutafuta kikosi bora zaidi kwa majumuisho ya mapendekezo ya wadau mbalimbali na vyombo vya habari.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad