HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, May 4, 2015

MDAU ADAM MZEE AUKACHA UKAPERA

 Marafiki wakiwa katika picha ya pamoja na maharusi,waliosimama kutoka kushoto ni,Merry Geofrey,Sheila Simba,Hafidh Kido ,John Bukuku,Suleiman Mwenda,Micky, Said Mwishehe,Sharifa,Neema Mwangomo,Abdala Kiluke,Mringi Petro ,katika Harusi ya Adam Mzee iliyofanyika katika Ukumbi wa Kivukoni,Serena Hotel.

Adam Mzee ni mtumishi wa Chama Cha Mapinduzi Makao Makuu ,Idara ya Itikadi na Uenezi,na ni mmiliki wa  blog maarufu ya Kamerayangu na Lilian ni mtumishi wa NMB Makao Makuu.
 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi,Ndugu Abdurahman Kinana wa pili kulia,na Katibu wa Nec,Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wa tatu kutoka kushoto,wakiwa na Mr & Mrs Mzee.
 Maharusi wakituzwa na Ndugu na marafiki wakati wakutoa zawadi.
 Maharusi wakiwa na wapambe wao,katika picha ya pamoja na wanakamati walipoenda kutoa zawadi na kuwapogeza maharusi.
Mr & Mrs.Adam Mzee

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad