Mchezaji wa Timu ya Etoile Du Sahel ya Tunisia, Bounedjah Baghdad akiangalia namna ya kuwatoka wachezaji wa Yanga, Mbuyu Twite na Amissi Tambwe wakati wa mchezo wa Kimataifa wa Kombe la Shirikisho uliopigwa leo kwenye uwanja wa Taifa, jijini Dar es salaam. matokeo ya mchezo huo ni 1-1.Picha
zote na Othman Michuzi.
Mshambuliaji
wa Yanga, Mrisho Ngassa akiruka daluga la Beki wa Timu ya Etoile Du
Sahel ya Tunisia wakati wa mchezo wa Kimataifa wa Kombe la Shirikisho
uliopigwa leo kwenye uwanja wa Taifa, jijini Dar es
salaam. hadi mwisho wa mchezo matokeo ni 1-1.
Wachezajiwa Timu ya Yanga, wakishangilia ushindi sambamba na mashabiki wao.
Kiungo wa Timu ya Etoile Du Sahel ya Tunisia, Franck Kom aruka juu kuwania mpira wa kichwa wakati wa mchezo wa Kimataifa wa Kombe la Shirikisho uliopigwa leo kwenye uwanja wa Taifa, jijini Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment