Hivi ni hali hali ya usafi ikuwepo katika jiji letu hili, Maana kila kona mambo ni haya haya na hakuna anaehangaika kuweka jiji safi. sasa hapa hapa na kibao cha kuchepuka kwa njia kimechomekwa kwenye lundo hilo la taka, kama ilivyonaswa taswara hii katika makutano ya Mtaa wa Mafia na Sukuma, Kariakoo.
Monday, April 20, 2015
Home
Unlabelled
KIBAO CHA KUONYESHA MCHEPUKO WA NJIA KILICHOCHOMEKWA KATIKATI YA LUNDO LA TAKA
KIBAO CHA KUONYESHA MCHEPUKO WA NJIA KILICHOCHOMEKWA KATIKATI YA LUNDO LA TAKA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment