HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, March 4, 2015

Watu 35 wanadaiwa kupoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha huko Kahama,Shinyanga

Zaidi ya Watu 35 wanadaiwa kupoteza maisha na wengine 55 kudaiwa kujeruhiwa baada ya kuangukiwa na nyumba zao kufuatia mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha usiku wa kuamkia leo, katika kata ya Mwakata, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga.

Tunaendelea kufuatilia tukio hilo kwa ukaribu na tutapeana habari kamili hapo baadae kidogo.

CHANZO: RADIO ONE

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad