Zaidi ya Watu 35 wanadaiwa kupoteza maisha na wengine 55 kudaiwa kujeruhiwa baada ya kuangukiwa na nyumba zao kufuatia mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha usiku wa kuamkia leo, katika kata ya Mwakata, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga.
Tunaendelea kufuatilia tukio hilo kwa ukaribu na tutapeana habari kamili hapo baadae kidogo.
CHANZO: RADIO ONE
No comments:
Post a Comment