Huyu gwajima Ni mchochezi mkubwa ,mtaka umaarufu kwa kupitia watu,naiomba serikali imshughulikie kwa mujibu wa sheria.wakristo tumeishi Na waislam kwa miaka mingi bila ubaguzi,muadhama pengo analijua Hilo ndio akasema waumini tusilazimishwe.yeye anaibuka Na matusi yake dhidi ya kiongozi mwenye kuheshimika duniani.aisee akalale Tu sega.
Huyu gwajima Ni mchochezi mkubwa ,mtaka umaarufu kwa kupitia watu,naiomba serikali imshughulikie kwa mujibu wa sheria.wakristo tumeishi Na waislam kwa miaka mingi bila ubaguzi,muadhama pengo analijua Hilo ndio akasema waumini tusilazimishwe.yeye anaibuka Na matusi yake dhidi ya kiongozi mwenye kuheshimika duniani.aisee akalale Tu sega.
ReplyDelete