Taswira mbalimbali zikionyesha hali ya kufungwa kwa maduka jijini Mbeya kufuatia mgomo wa wafanya biashara unaoendelea nchi nzima. eneo lote la Soko la Mwanjelwa kimyaaaa mitaa yote kufuli tuuu. wafanya biashala wakiwa wameketi nje ya maduka yao. mpaka saluni eti zimefungwa duu. picha na Fadhiri Atick (mr.pengo) Mbeya.
No comments:
Post a Comment