Nakumbuka kuna Wimbo mmoja wa Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya ambayo ndani yake kuna maneno kwamba hapa mjini ukiona nyumba imewekwa alama ya kwamba haiuzwi, basi jua hiyo ndio alama ya mji.Na hapa ni Mwananyakala na alama hiyo inaonekana.
No comments:
Post a Comment