Muitikio wa kupanda miti katika maeneo ya pembezoni mwa barabara za jiji la Dar umejibu kweli kweli,maana sasa hivi kila unakokatisha ni kijani kitupu kuanzia chini mpaka juu,kiasi kamba hata chemba zilizowazi hazionekani.
Friday, February 27, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment