HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, February 27, 2015

COCA-COLA YAZINDUA UPYA MAJI YA DASANI

Kutoka kushoto ni Meneja wa Coca- Cola, Yebeital Getachew, Mkurugenzi Mtendaji wa Coca Cola Kwanza, Basil Gadzios, Meneja Masoko wa Coca-Cola Kwanza, Hettiarachchi na Msimamizi wa Masoko Coca-Cola Kwanza, Josephine Msalilwa wakionyesha muonekano mpya wa chupa ya maji ya Dasani baada wakati wa uzinduzi. 
 Mkurugenzi Mtendaji wa Coca Cola Kwanza, Basil Gadzios akifafanua jambo kwa waandishi wa habari mara baada ya kuzindua upya maji ya Dasani.
Chupa ya Dasani inavyoonekana baada ya kuzindua upya maji ya Dasani.
Maji ya Dasani.
Mkurugenzi Mtendaji wa Coca Cola Kwanza, Basil Gadzios akizungumza wakati wa uzinduzi wa muonekano mpya wa chupa ya maji ya Dasani katika hoteli ya Double Tree jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wageni waalikwa wakiwa katika uzinduzi huo.
 Wageni waalikwa.
Wafanyakazi wa Coca-Cola Kwanza wakijumuika na wageni waalikwa katika uzinduzi huo.
 Wageni waalikwa katika hafla hiyo.
Muonekano wa maji ya Dasani katika chupa mpya.

Wanamuziki wa bendi ya Odama THT wakitumbuiza wakati wa hafla ya uzinduzi wa muonekano wa Chupa mpya ya maji ya Dasani jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad