Wananchi mbalimbali wa mji wa Iringa wakiwa katika soko kuu mjini humo kupata huduma zao wakati sehemu mbali mbali huduma zikiwa zimesitishwa kufuatia mgomo wa wafanyabiashara nchini, kushinikiza jeshi la polisi kumwachia huru mwenyekiti wao wa chama cha wafanyabiashara nchini Bw Johnson Minja anayedaiwa kushikiliwa na jeshi la polisi kwa mahojiano.
Baadhi ya Maduka yakiwa yamefungwa kutokana na mgomo unaoendelea wa wafanyabiashara nchini.
Moja kati ya maduka mjini Iringa yakiendelea kutoa huduma mbali ya wafanyabiashara wengine kuwepo katika mgomo kushinikiza kuachiwa huru kwa mwenyekiti wa wafanyabiashara Taifa Bw Johnson Minja.
BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI KAMILI
|
No comments:
Post a Comment