HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, January 28, 2015

MGOMO WA WAFANYABIASHARA IRINGA BAADHI WAGOMA KUSHIRIKIA

Wananchi mbalimbali  wa mji  wa Iringa  wakiwa katika  soko  kuu mjini humo kupata  huduma  zao wakati sehemu mbali mbali huduma  zikiwa  zimesitishwa  kufuatia mgomo  wa wafanyabiashara  nchini, kushinikiza  jeshi la  polisi  kumwachia  huru mwenyekiti  wao  wa chama  cha  wafanyabiashara  nchini Bw  Johnson  Minja anayedaiwa  kushikiliwa na  jeshi la polisi kwa mahojiano.
Baadhi ya Maduka yakiwa yamefungwa kutokana na mgomo unaoendelea wa wafanyabiashara nchini.
Moja  kati  ya  maduka  mjini Iringa yakiendelea  kutoa  huduma  mbali ya  wafanyabiashara  wengine  kuwepo katika mgomo  kushinikiza  kuachiwa  huru kwa mwenyekiti wa  wafanyabiashara  Taifa  Bw  Johnson Minja.

BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI KAMILI

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad