HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, December 18, 2014

Prof. Mwandosya akagua Mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Lupaso-Bujesi,Tukuyu

Bango la Ujenzi wa Barabara ya Lupaso-Bujesi ambayo ni awamu ya kwanza ya ujenzi wa barabara ya Katumba -Tukuyu kwa kiwango cha lami.
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais - Kazi Maalum, Prof. Mark Mwandosya (katikati) na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo,Said Mderu wakipata maelezo ya ujenzi wa barabara ya Lupaso-Bujesi ambayo ni awamu ya kwanza ya ujenzi wa barabara ya Katumba -Tukuyu kwa kiwango cha lami.Wakati walipotembelea kukagua maendeleo ya ujenzi wa barabara hiyo.
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais - Kazi Maalum, Prof. Mark Mwandosya na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo,Said Mderu wakikagua ujenzi wa barabara ya Lupaso-Bujesi ambayo ni awamu ya kwanza ya ujenzi wa barabara ya Katumba -Tukuyu kwa kiwango cha lami.
Ujenzi wa barabara unaendelea.
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais - Kazi Maalum, Prof. Mark Mwandosya (wa tano kulia), na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo,Said Mderu (wa tatu kulia) wakiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wakadarasi na wahandisi wa ujenzi wa barabara hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad