HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, November 26, 2014

Miss Ilala 2014 ashiriki chakula cha mchana na Watoto wa Kituo cha Mwana Orphans Centre

Miss Ilala mwaka 2014 Jihan Dimack akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya watoto wanaolelewa na kituo cha kulelea watoto yatima cha Mwana Orphans Centre kilichopo Vingunguti jijini Dar es Salaam katika hafla ya chakula cha mchana,iliyofanyika katika hoteli ya Cape Town Fish Market.
Miss Ilala 2014 Jihan Dimack, akiwanawisha mikono watoto yatima wa kituo cha Mwana Orphans Centre kilichopo Vingunguti jijini Dar es Salaam katika hafla ya chakula cha mchana iliyofanyika katika hoteli ya Cape Town Fish Market.  (Picha na John Dande)
Miss Ilala 2014 Jihan Dimack, akiwagawia chakula watoto wanaolelewa na kituo cha kulelea watoto yatima cha Mwana Orphans Centre kilichopoVingungutijijini Dar es Salaam katikahaflayachakula cha mchanailiyofanyikajuzikatikahoteliya Cape Town Fish Market. 
Miss Ilala 2014, Jihan Dimack akila chakula pamoja na watoto hao.
Miss Ilalawamwaka 2014 Jihan Dimack akimlisha chakula Mtoto Miskia Nassor, wa kituo cha Mwana Orphans Centre kilichopo Vingunguti jijini Dar es Salaam.
Miss Ilala 2014 Jihan Dimack akiwa amembeba mtoto FatumaYusuph.
Miss 2014 Jihan Dimack akitoa zawadi kwa watoto hao.
Miss Ilala 2014 Jihan Dimack akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa hoteli ya Cape Town Fish Market.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad