Manzese ya sasa ukitofautisha na ile ya kipindi kile.
Zamani eneo hili kulikuwa na kivuko ila sasa kimehamishwa,lakini kama ilivyo ada kwamba mazoea hujenga tabia.watu bado wanavukia hapa hapa.
Mishe mishe kama kawa Manzese.
Mapumziko kivulini.
No comments:
Post a Comment