Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kushoto) akizungumza na Mwenyekiti
wa Kamati ya Taifa ya Huduma kwa Jamii ambaye pia ni Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya
Tanzania, Shaaban Lila, wakati Jaji huyo alimpomtembelea Waziri Chikawe ofisini kwake jijini
Dar es Salaam leo, kujadiliana masuala mbalimbali ya Adhabu Mbadala wa Kifungo.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (katikati) akizungumza na Mwenyekiti
wa Kamati ya Taifa ya Huduma kwa Jamii ambaye pia ni Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu
ya Tanzania, Shaaban Lila (kulia), wakati Jaji huyo alimpomtembelea Waziri Chikawe ofisini
kwake jijini Dar es Salaam leo, kujadiliana masuala mbalimbali ya Adhabu Mbadala wa
Kifungo. Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Huduma kwa Jamii, Wizara ya Mambo ya Ndani
ya Nchi, Fidelis Mboya.Picha zote na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
No comments:
Post a Comment