Pilika pilika kwa Wanafunzi wa Vyo vya elimu ya Juu imeanza katika maeneo mbali mbali nchini mara Baada ya vyuo vingi kufunguliwa hivi
karibuni,wanafunzi kutoka sehemu wameanza kulipoti
vyuoni.Pichani ni sehemu ya Wanafunzi wapya katika Chuo Kikuu cha Mzumbe Campas ya Mbeya wakiwa katika safari ya kwenda kuripoti kwaajili
ya kuanza masomo yao,huku wakijikongoja mdogo mdogo na mizigo yao.
No comments:
Post a Comment