Afisa Tawala wa Wakala wa Huduma za Ajira Tanzania (TaESA) Bw. Peter
Ugata akitoa wito kwa wadau na wananchi kwa ujumla kutumia wakala
huu unaowaunganisha waajiri na watafuta kazi nchini.wakati wa Mkutano
uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Afisa Habari wa Wakala
huo Bi. Jamila Mbaruku
Afisa Habari wa Wakala wa Huduma za Ajira Tanzania (TaESA) Bi. Jamila
Mbaruku akiewaeleza waandishi wa Habari( hawapo pichani) kuhusu
kuhusu mikakati ya wakala wa huduma za ajira kusaidia wananchi wa
tanzania kuingia katika ushindani wa soko la ajira nchini ikiwemo kutoa
mafunzo kwa Watafuta kazi.Wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar
es Salaam. Kulia ni Afisa Tawala wa Wakala hiyo Bw. Peter Ugata.
No comments:
Post a Comment