HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, September 23, 2014

DKT. SHEIN MGENI RASMI KATIKA SHEREHE ZA ELIMU BILA MALIPO AMAAN ZANZIBAR LEO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Walimu na Wanafunzi katika Sherehe za Miaka 50 ya Elimu bila malipo zilizofanyika kitaifa katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimkabidhi kombe Msaidizi Afisa Elimu Mkoa wa Kaskazini Unguja Maulid Nafasi Juma wakati wa Sherehe za Miaka 50 ya Elimu bila malipo zilizofanyika kitaifa katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja leo.
Baadhi ya Viongozi waliohudhuria katika sherehe za miaka 50 ya Elimu bila Malipo zilizofanyika katika uwanja wa Amaan Studium na mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein.
Baadhi ya walimu wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein wakati alipokuwa akizungumza na Walimu, Wazee,Wanafunzi katika sherehe za kilele cha miaka 50 ya Elimu bila Malipo zilizofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar.
Wanafunzi wenye ulemavu tofauti wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein kwa maandano wakati wa sherehe za miaka 50 ya Elimu bila Malipo zilizofanyika katika uwanja wa amaan Studium.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiwapungia mkono wanafunzi waliopita mbele ya jukwaa la viongozi katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar wakati wa sherehe za kilele cha miaka 50 ya Elimu bila Malipo zilizofanyika leo.
Walimu na Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZA wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein wakati wa maandamo ya kusherehekea kilele cha miaka 50 ya Elimu bila malipo ilizofanyika katika uwanja wa amaan Studium.
Wanafunzi wa Chuo cha Ufundi JKU wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akipokea maandamano ya wanafunzi wa skuli mbali mbali za Unguja na Pemba katika sherehe za miaka 50 ya Elimu bila malipo zilizofanyika kitaifa katika uwanja wa Amaan Studium leo.
Wanafunzi wa Skuli ya wanawake ya Al- Ihsaan ya Magogoni Jitmai wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akipokea maandamano ya wanafunzi wa skuli mbali mbali za Unguja na Pemba katika sherehe za miaka 50 ya Elimu bila malipo zilizofanyika kitaifa katika uwanja wa Amaan Studium leo.
Baadhi ya wanafunzi wa Skuli mbli mbli za Sekondari wakiwa katika jukwaa wakati wa sherehe za Miaka 50 ya Elimu bila malipo zilizofanyika kitaifa katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja leo.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad