HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, August 22, 2014

KAMPENI YA MWANAMKE NA UCHUMI YAZINDULIWA RASIMI MJINI DODOMA

Waziri wa Maendeleo Jamii Jinsia na Watoto Mh Sophia Simba akihutubia wakati wa uzinduzi wa kampeni ya mwanamke na uchumi iliyo andaliwa na NGO ya Angels Moment Co. ltd kwa ajili ya kumkomboa mwanamke wa Kitanzania uzinduzi huo umefanyika katika Hotel ya Dodoma.
Mkurugenzi wa Angels Moment co. ltd Naima Malima akisoma risala ya kuelezea madhumuni ya uzinduzi wa kampeni ya mwanamke na uchumi sherehe hiyo ilihudhuriwa na viongozi mbali mbali wabunge na pamoja na baadhi ya Mawaziri
Burudani kidogo mara baada ya kufanyika kwa uzinduzi.
Waziri wa Maendeleo Jamii Jinsia na Watoto Mh Sophia Simba akiwa kwenye picha ya pamoja na uongozi mzima kwa Angels Moment co. ltd mara baada ya uzinduzi rasmi wa kampeni ya mwanamke na uchumi,iliyofanyija jana mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad