HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, July 20, 2014

TAARIFA KUTOKA BENKI KUU YA TANZANIA

Benki Kuu ya Tanzania inapenda kukanusha habari zinazosambazwa kwenye mitandao kuwa kesho Jumatatu Benki ya FBME itafungwa na shughuli zote za benki hiyo zitakuwa chini ya Benki Kuu.

Habari hizi si za kweli na kwamba benki hiyo haipo chini ya usimamizi wa Benki Kuu na itaendelea kutoa huduma kama kawaida.

IMETOLEWA NA
 IDARA YA UHUSIANO NA ITIFAKI, BENKI KUU YA TANZANIA.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad