Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, July 26, 2014

demo-image

MH. EDWARD LOWASSA AWAANDALIWA FUTARI WAUMINI WA MONDULI

IMG-20140726-WA0005
Mbunge wa jimbo la Monduli Edward Lowassa akizungunza na waumi wa dini ya kiislam (hawapo pichani), katika hafla aliyofuturisha katika Msikiti Mkuu wa Monduli mjini.
IMG-20140726-WA0001
 Shekh wa Wilaya ya Monduli Shekh Mwinshehe Mwinyi akizungumza na waumini wakati wa futari iliyoandaliwa na Mh. Lowassa.
IMG-20140726-WA0004
 Baadhi ya waumini wakipata futari iliyoandaliwa na Mbunge wa Monduli Mh. Edward Lowassa.
IMG-20140726-WA0006
 Mke wa mbunge wa jimbo la monduli Regina Lowassa akizungumza katika ghafla ya futari  iliyoandaliwa na mbunge wa jimbo hilo Edward Lowassa iliyofanyika katika msikiti wa monduli.
IMG-20140726-WA0007
 Mbunge wa Monduli Mh. Edward Lowassa akiwa na Shekh wa Wilaya ya Monduli Shekh Mwinshehe Mwinyi wakati wa futari aliyoiandaa kwa ajili ya waumini wa dini ya kiisalamu wilaya Monduli.
IMG-20140726-WA0008
 Shekh wa Wilaya ya Monduli Shekh Mwinshehe Mwinyi akizungumza na waumini wakati wa futari iliyoandaliwa na Mh. Lowassa.
IMG-20140726-WA0009
 Waumini wakipata fuatari.
IMG-20140726-WA0010
 Meza Kuu wakipata futari.
IMG-20140726-WA0011
 Waumini wakipata futari iliyoandaliwa na mbunge wa jimbo laMonduli Mh. Lowassa.
IMG-20140726-WA0012
 Mke wa mbunge wa jimbo la Monduli, Regina Lowassa akizungumza katika hafla ya futari  iliyoandaliwa na mbunge wa jimbo hilo Edward Lowassa iliyofanyika katika Msikiti Mkuu wa Monduli.
IMG-20140726-WA0013
 Mbunge wa viti maalum CCM mkoa wa Arusha, Namelock Sokoine akizungumza katika hafla ya futari iliyofanyika katika Msikiti Mkuu wa Monduli.
IMG-20140726-WA0014
 Mbunge wa viti maalum CCM mkoa wa Arusha Namelock Sokoine akiwa na mke wa Lowassa katika hafla ya futari iliyofanyika katika Msikiti wa Monduli..
IMG-20140726-WA0015

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *