Mbunge wa Chalinze Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete akiweka jiwe la msingi katika nyumba ya walimu iliyojengwa kwa na michango ya wadau mbalimbali ikiwamo ofisi ya Mbunge wa Chalinze
Mbunge
wa Chalinze Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi wa
Halmashauri ya Bagamoyo ndugu Samuel Saliyanga wakati wa ukaguzi wa
ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Kinzagu, kata ya Lugoba
Jengo
jipya la Zahanati linaloendelea kujengwa katika kijiji cha Kinzagu,
kata ya Lugoba Jimbo la Chalinze linaloongozwa na Mheshimiwa Ridhiwani
Kikwete.
Mbunge
wa Chalinze Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete akielekea kuweka jiwe la
msingi katika nyumba ya walimu iliyojengwa kutokana na michango ya wadau
mbalimbali ikiwamo ofisi ya Mbunge wa Chalinze
No comments:
Post a Comment