HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, April 24, 2014

HERI YA SIKU YA KUZAZILIWA MDAU EDWIN MOSHI


Wadau, Nakushukuru mwenyezi MUNGU kwa kunifikisha siku hii ya leo Alhamisi Aprili 24 ambapo naadhimisha siku ya kuzaliwa, ni kwa neema yako tu mimi kufika hapa nilipo, nakuomba unisaidie kwa kila kitu katika maisha yangu nizidi kukutumikia vyema. 
Nawashukuru wanalibeneke wenzangu wote, pamoja na ndugu, jamaa na marafiki kwa kuniunga mkono katika siku hii muhimu kwangu, 
Asanteni Sana
 Edwin Moshi,
 C.E.O Eddy Blog

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad