HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, October 12, 2013

demo-image

BONNAH TRUST FUND YAZINDULIWA RASMI LEO JIJINI DAR

IMG_9059
Muasisi wa Mfuko wa Elimu ya Bonnah Trust Fund,Bi. Bonnah Kaluwa ambaye pia ni Diwani wa kata ya Kipawa,jijini Dar es Salaam akizungumza machache wakati wa hafla fupi ya Uzinduzi rasmi wa Mfuko wa Kuhamasisha elimu ya Tanzania ili isonge mbele uitwao Bonnah Trust Fund,uliofanyika mapema leo asubuhi kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam
IMG_9221
Mgeni Rasmi katika Hafla hiyo ya Uzinduzi rasmi wa Mfuko wa Kuhamasisha elimu ya Tanzania ili isonge mbele uitwao Bonnah Trust Fund,Meya wa Ilala,Mh. Jerry Silaa akisisitiza jambo muda mfupi kabla ya kuzindua Mfuko huo,mapema leo asubuhi kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
IMG_9271
Kutoka Kushoto ni Naibu Waziri wa Kazi na Ajira,Mh. Makongoro Mahanga,Meneja wa Huduma kwa Jamii kutoka kampuni ya Tigo,Bi Woinde Shisael,Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,Mh. Mushi,Muasisi wa Mfuko wa Elimu ya Bonnah Trust Fund,Bi. Bonnah Kaluwa pamoja na Mgeni Rasmi kwenye hafla hiyo,Meya wa Ilala,Mh. Jerry Silaa wakifurahia jambo mara baada ya kufanyika kwa Uzinduzi Rasmi wa Mfuko wa Bonnah Trust Fund,mapema leo asubuhi kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
IMG_9102
Meneja wa Huduma kwa Jamii kutoka kampuni ya Tigo,Bi. Woinde Shisael akizungumza.
IMG_9038
IMG_9089
Burudani ya Muziki

IMG_9076
IMG_9085
Dogo akionyesha umahiri wake wa kucheza na baiskeli ya gurudumu moja.
IMG_9114
IMG_9123
IMG_9132
IMG_9147
IMG_9157
Mamodel wakipita jukwaani na mavazi ya Mwanamitindo Maarufu nchini,Bi. Asia Idarous a.k.a Mamaa wa Mitindo.
IMG_9175
Asia Idarous a.k.a Mamaa wa Mitindo akisalimia wadau.
IMG_9031
Wadau.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *