HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, May 21, 2013

WANANCHI WAJIHADHARI NA UNUNUZI WA MAJI FEKI JIJINI DAR

Wananchi wakifuatilia mzozo baina ya mfanyabiashara wa maji na mteja wake baada ya kubainika kwamba amemuuzia maji bandia.Mfanyabiashara huyo ametambulika kwa jina la Kagira Mhisho mwenye umri wa miaka 15 inaseemekana kuwa amekuwa akifanya biashara hiyo kwa kutumia maji kutoka sokoni kariakoo kwa takribani miaka mitatu sasa.Ninvyema wananchi wakajihadhari na maji yanayouzwa njiani kwani baadhi ya wafanyabiashara wasiowaaminifu huokota chupa zilizokwisha tumika na kuzitumia.Ninashauri vyombo husika katika ukaguzi na kujali afya za walaji kuingilia kati ili kuepusha wananchi kupata maradhi mbalimbali.
Mfanyabiashara wa maji aliyetambulika kwa jina la Kigira Mhisho(15) akimwaga maji baada ya kubainika kuwa anauza maji bandia.(PICHA NA Frank Shija - MAELEZO)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad