Meneja Biashara wa Nokia Nchini Tanzania Samson Majwala, Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde na menjeja masoko wa Airtel Edwin Byampanju kwa pamoja wakionyesha kipeperushi cha Nokia Lumia 620 wakati wa wakati wa uzinduzi wa Nokia Lumia 620 kwa ushirikiano kati ya Airtel na Nokia utakaowawezesha wateja wa Airtel na watanzania kupata simu ya Nokia Lumia 620 yenye technologia ya kisasa na offa kabambe ya Muda wa Maongezi wa dakika 275, sms bila kikomo na internet ya 3GB kwa muda wa mienzi mitatu.
Meneja
Biashara wa Nokia Nchini Tanzania Samson Majwala, Afisa Uhusiano wa
Airtel Bi Jane Matinde na menjeja masoko wa Airtel Edwin Byampanju kwa
pamoja wakionyesha simu za rangi tofauti za Nokia Lumia 620 wakati wa
wakati wa uzinduzi wa Nokia Lumia 620 kwa ushirikiano kati ya Airtel na
Nokia utakaowawezesha wateja wa Airtel na watanzania kupata simu ya
Nokia Lumia 620 yenye technologia ya kisasa na offa kabambe ya Muda wa
Maongezi wa dakika 275, sms bila kikomo na internet ya 3GB kwa muda wa
mienzi mitatu.
Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde akiongea wakati wa uzinduzi wa
simu Nokia Lumia 620 , ushirikiano kati ya Airtel na Nokia
utakaowawezesha wateja wa Airtel na watanzania kupata simu ya Nokia
Lumia 620 yenye technologia ya kisasa na offa kabambe ya Muda wa
Maongezi wa dakika 275, sms bila kikomo na internet ya 3GB kwa muda wa
mienzi mitatu.
Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde akiongea wakati wa uzinduzi wa
simu Nokia Lumia 620 , ushirikiano kati ya Airtel na Nokia
utakaowawezesha wateja wa Airtel na watanzania kupata simu ya Nokia
Lumia 620 yenye technologia ya kisasa na offa kabambe ya Muda wa
Maongezi wa dakika 275, sms bila kikomo na internet ya 3GB kwa muda wa
mienzi mitatu.
Meneja Biashara wa Nokia Nchini Tanzania Samson Majwala( kushoto) akimkabidhi simu ya Nokia Lumia 620 Batuli Chombo mwandishi wa habari wa Sikuba kwenye bahati nasibu wakati wa uzinduzi wa Simu hiyo kwa ushirikiano kati ya Airtel na Nokia utakaowawezesha wateja wa Airtel na watanzania kupata simu ya Nokia Lumia 620 yenye technologia ya kisasa na offa kabambe ya Muda wa Maongezi wa dakika 275, sms bila kikomo na internet ya 3GB kwa muda wa mienzi mitatu. Wakishuhudia ni Afisa Uhusiano Jane Matinde akifatana na menjeja masoko wa Airtel Edwin Byampanju.
No comments:
Post a Comment