HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 29, 2013

demo-image

MATUKIO MBALI MBALI YA JENGO LILILOPOROMOKA LEO JIJINI DAR

C27B8255
Jengo lililo pembeni mwa msikiti wa Shia Ithnaasheri mtaa wa Indira Ghandi katikati ya jiji la Dar es salaam linavyoonekana baada ya kuporomoka asubuhi hii. Kamanda wa Polisi Kanda ya Dar es salaam Suleiman Kova kawaambia wanahabari kuwa kila aliyehusika na ujenzi, usimamizi na hata utoaji vibali atawajibishwa endapo kutaonekana kumekuwepo uzembe upande wake
C27B8252
Watu wengi wakiwemo ndugu wa watu waliokuwepo kwenye jengo hilo wakiangalia hata ya kuokolewa kwa ndugu zao.
C27B8264
Juhudi za uokoaji zikiendelea japo kuna uhaba mkubwa sana wa vifaa vya uokoaji.
C27B8280
 wananchi wakishuhuria kwa huzuni
C27B8265
C27B8270
Moja ya Magreda yaliopo eneo hilo la tukio likiendelea na kazi  ya kutoa kifusi ili kurahisisha kazi ya uokoaji.
C27B8273
Kikukweli hali bado ni tete katika uokoani,maaka pia kuna ufinyu wa nafasi.
C27B8278
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Mh. Said Meck Sadick akiwasili eneo la tukio ili kuungana na waokoaji wengine kwenye zoezi hilo.
C27B8286
Watu wanajitahidi kwenye uokoani,lakini kuna uhaba wa vifaa vya uokoaji.
C27B8287
Mkuu wa Mkoa akisogea eneo la tukio.
C27B8288
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Mh. Mh. Said Meck Sadick akipatiwa maelezo ya namna ya uokoaji kutoka kwa maafisa wa kikosi cha Uokoaji.
C27B8290
C27B8293
Wanajitahidi lakini wanakwamishwa na vifaa.
C27B8299
C27B8305
Wadau wakionyesha nondo zilizokuwa zimejengewa kwenye jengo hilo wakimaanisha kuwa hazina ubora.
C27B8315
C27B8306
Magari yaliyokuwepo jirani na jengo hilo yakiwa yameangukiwa na kifusi.
C27B8319
Kazi ikiendelea huku wengine wakiwa hawaani kilichotokea.
C27B8320
Mawasiliano ya hapa na pale yakiendelea kuhakikisha utaratibu wa uokoaji unafanikiwa.
C27B8326

C27B8321

C27B8328
Kikosi ya Msalaba mwekundu kipo eneo la tukio.
C27B8331
Ulinzi mkali.
C27B8336
Mdau akiwahisha ngazi kwa ajili ya kuendeleza zoezi zima la uokoaji.
C27B8330

C27B8345
Mpiga picha wa Magazeti ya Serikali ya Daily & Sunday News na Habari leo,Mohamed Mambo akiwajibika kuhakikisha anapata picha bora.
C27B8366
Kumbukumbu ikichukuliwa.
C27B8360

C27B8369

C27B8375
Mh. James Mbatia akijadiliana jambo na mmoja wa wadau walipo eneo la tukio.
C27B8388

3 comments:

  1. blogger_logo_round_35

    inasikitasha, mainjinia wawe makini sana na vipimo kabla ya ujenz, wasikurupuke 2.

    ReplyDelete
  2. blank

    hata bado kila mkijidai wajanja na akili nyingi ndio mtakavyokufa kwa wingi rushwa itawamaliza

    ReplyDelete
  3. blank

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *