HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, October 12, 2012

demo-image

MBAGALA ILIVYONUKA LEO, Mabomu kila kona sirahisi vurugu kwisha bila busara kutumika, Mkanisa matatu yavunjwa.A

DSC_0994
Askari wa jeshi la Polisi kikosi cha kutuliza ghasia wakiwadhibiti vijana waliokuwa wakileta vurugu eneo la mbagala kufuatia kijana mmoja anaesemekana anasoma kidato cha kwanza kukojolea mkojo Quraan na kusababisha hasira kwa waisilamu hassa vijana ambao walitapakaa mitaani na kuanza kuleta vuru.
DSC_1006
Vijana waliosambaa mitaani na kuamsha vurugu kubwa kwenye eneo hilo la Mbagala Kizuiani.
DSC_1007

DSC_1032
Waisilamu waliotoka msikitini kwenye swala ya Ijumaa walikumbana na kimbembe cha kamatakamata hatakama hawakuwemo kwenye sakata hilo, alama ni kanzu na sijda

DSC_1067

DSC_1068

DSC_1073.
Hapa baadhi ya waisilamu walioamua liwalo naliwe nakuamua kuwatunishia msuli polisi nakusema pigeni mpendavyo hatoki mtu.

DSC_1084

DSC_1105
Barabara zilikua zikiharibiwa kwa moto ulikuwa ukiwashwa na waisilamu hao wenye hasira.
DSC_1121
Maji ya kuwasha yalikuwepo ingawa hayakuweza kuzuia vurugu hizo.
DSC_1128

DSC_1143

DSC_1147
Askari na watuhumiwa wakivuka pamoja kwenye mtaro wa maji taka.

DSC_1148

DSC_1161
Watuhumiwa wavurugu hizo wakipandishwa kwenye gari la polisi.

1 comment:

  1. blank

    eti mbona hiyo picha no.8 huyo anayevutwa kwenye mtaro na yeye mwendesha blog ya Temeke.(temekepamoja.blogspot.com)nipeni maelezo zaidi jamani

    ReplyDelete

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *