HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, August 15, 2012

WATALII WA OLIMPIKI WAREJEA NCHINI MIKONO MITUPU

Mwakilishi wa Tanzania kwenye mchezo wa kuogelea Magdalena Moshi akilakiwa na bibiyake mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo jioni, mara baada ya wawakilishi hao watanzania kurejea nchini bila medali yeyote.


Kikosi kamili kilichowakilisha Tanzania kwenye michuano ya Olimpiki kikiwa na viongozi wao kwenye Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam leo jioni mara baada ya kuwasili.
Safari kuelekea Hotelini Keshooooondio nyumbani
Mwakilishi wa Mchezo wa Ngumi Selemani Kidunda.
Wawakilishi wa Mchezo wa kuogelea Amal (mbele) Gadiale na Magdalena Moshi wakiwasili.
Rais wa Kamati ya Olimpiki Filbert Bayim, akibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa Michezo nchini Leonard Tadeo ambae alifika kuwapokea uwanjani hapo.
Katibu Mkuu wa Shirikisho la ngumi Tanzania (BFT)Makore Mashaga akisalimiana na baadhi ya wawakilishi wa Tanzania kwenye michezo ya Olimpiki mara baada ya kuwasili nchini.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad