Friday, August 31, 2012

Uzinduzi wa Kinywaji cha Maltiza jijini Arusha leo

IMG_1692
 Balozi wa Kinyaji kipya kisicho na kilevi cha Maltiza ambacho kinatengenezwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),Sophia Amein (kulia) akimpa kinywaji hicho mmoja wa wakazi wa jiji la Arusha ili akionje wakati wa uzinduzi wake uliofanyika jioni ya leo katika viwanja vya Sanawari,jijini Arusha.
IMG_1687
IMG_1741
 wakazi wa jiji la Arusha wakiwa wamejitokeza kwa wingi ili wakionje kinywaji kipya cha Maltiza ambacho hakina kilevi wakati wa uzinduzi wake uliofanyika jioni ya leo katika viwanja vya Sanawari,jijini hapa.
IMG_1766
IMG_1764
Wasanii wa Kikundi cha Hakuna Matata cha jijini Arusha wakitembeza mfano wa Kinywaji kipya cha Maltiza ambacho hakina kilevi kinachotengenezwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kwa watu mbali mbali waliofika kwenye uzinduzi wake uliofanyika jioni ya leo katika viwanja vya Sanawari,Jijini Arusha.
IMG_1785
IMG_1797
IMG_1896
Kikundi cha Maonyesho ya Sanaa ya Sarakasi kifahamikacho kwa jina la Hakuna Matata chenye maskani yake jijini Arusha kikifanya Maonyesho katika viwanja vya Sanawari,jijini Arusha wakati wa Uzinduzi wa Kinywaji cha Maltiza jioni ya leo.
IMG_1879
Mmoja wa mabalozi wa Maltiza,Lyidia Joseph akiruka kamba sambamba na Wasanii wa Kikundi cha Hakuna Matata.
IMG_1920
IMG_1713
Mabalozi wa Kinywaji cha Maltiza wakionyesha umahiri wao wa kulisakata dansi wakati wa Uzinduzi wa kinywaji hicho uliofanyika jioni ya leo katika viwanja vya Sanawari,jijini Arusha na kuhudhulia na mamia ya wakazi wa Jiji la Arusha.
IMG_1710
Mdau kutoka TBL akionja kinywaji hicho.
IMG_1744
IMG_1760
Mamia ya wakazi wa Jiji la Arusha wakiwa wamefurika katika viwanja vya Sanawari kushuhudia uzinduzi wa Kinywaji kipya na kisicho na kilevi cha Maltiza.

No comments:

Post a Comment