Nafasi Ya Matangazo

Saturday, January 28, 2012

WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI JIJINI DAR WAANDAMANA

Wanafunzi wa Shule za Msingi Ndugumbi na Mwalimu Nyerere, Magomeni,Dar es Salaam, wakiandamana katika Barabara ya Kawawa, kuishinikiza Wakala wa Barabara wa Serikali (TANROADS), kuweka matuta barabarani, kufuatia wenzao wawili kugongwa na magari kunakosababishwa na mwendo kasi katika eneo hilo.Picha na Hamisi Magendela

1/28/2012 ~ Copyright: Othman Michuzi ~ Mtumie Rafiki Yako , Maoni: 0

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru

 
Modified by MKCT
Idadi ya watu
Idadi ya watu