Rais Dkt. Jakaya Kikwete akimpongenza Balozi Liberata Mulamula kwa kazi nzuri aliyoifanya katika sekreterieti ya Maziwa Makuu kwa miaka mitano. Pembeni ni Dr Asha-Rose Migiro Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa walipokuwa katika hoteli ya Speke Commonwealth Resort kitongoji cha Munyonyo nje kidogo ya Kampala kunakofanyika mkutano wa wakuu wa nchi za Maziwa Makuu (ICGLR) ambapo Balozi Mulamula ndio amemaliza rasmi muda wake wa kufanya kazi kama Katibu Mtendaji wa ICGLR na kumuachia kiti Prof Lumu Alphonse Ntumba Luaba (59) wa DRC.
Viongozi wa Nchi za Maziwa Makuu (ICGLR) wakiwa kwenye picha ya Pamoja leo.Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment