Kikosi cha Yanga |
Mshambuliaji wa Timu ya Yanga,Davies Mwape akiwa katika harakati ya kumtoka beki wa Elman,Badri Mo'Alim katika mchezo wa Mashindano ya Kagame-Castle Cup uliochezwa jioni hii ndani ya uwanja wa Taifa jijini Dar.
Wachezaji wa Timu ya Elman ya Somalia,Mohamed Abukar (kushoto) na Said Mohamed (kulia) wakiwania mpira na Mshambuliaji wa pembeni wa timu ya Yanga,Kigi Makasi (kati) katika mchezo wa Mashindano ya Kagame-Castle Cup ndani ya uwanja wa Taifa jijini Dar.
Mwape wa Yanga akiwa chini mara baada ya kufunga bao zuri sana kwa kichwa kutokana na Kipa wa timu Elman kuuteme mpira uliopigwa na Julius Mrope.
Sehemu ya Mashabi wa Yanga waliofurika ndani ya uwanja wa Taifa leo kuisapoti timu yao.
No comments:
Post a Comment