HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, June 30, 2011

YANGA YAITUNGUA ELAN 2-0 LEO

Kikosi cha Yanga

 
 Kikosi cha Elman 
 Mshambuliaji wa Timu ya Yanga,Davies Mwape akiwa katika harakati ya kumtoka beki wa Elman,Badri Mo'Alim katika mchezo wa Mashindano ya Kagame-Castle Cup uliochezwa jioni hii ndani ya uwanja wa Taifa jijini Dar.
 Wachezaji wa Timu ya Elman ya Somalia,Mohamed Abukar (kushoto) na Said Mohamed (kulia) wakiwania mpira na Mshambuliaji wa pembeni wa timu ya Yanga,Kigi Makasi (kati) katika mchezo wa Mashindano ya Kagame-Castle Cup ndani ya uwanja wa Taifa jijini Dar.
 Mwape wa Yanga akiwa chini mara baada ya kufunga bao zuri sana kwa kichwa kutokana na Kipa wa timu Elman kuuteme mpira uliopigwa na Julius Mrope.
Hatari langoni mwa Elman ya Somalia.
Sehemu ya Mashabi wa Yanga waliofurika ndani ya uwanja wa Taifa leo kuisapoti timu yao.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad