Mwanamuziki wa Kimarekani mwenye asili ya Jamaica,Shaggy akifanya vitu vyake katika Tamasha la Kimataifa la Filamu Zanzibar (ZIFF) usiku wa kuamkia jana na kuwapagawisha wengi waliofika katika Uwanja wa Mambo ndani ya Ngome Kongwe,Zanzibar.
Shaggy akiwapagawisha wanzanzibar.
Ilikuwa ni Shangwe kwa kila aliefika katika uwanja wa Mambo ndani ya Ngome Kongwe,Zanzibar.
No comments:
Post a Comment