Nape Nnauye akizungumza na wafanyakazi wa Global Publishers katika chumba cha habari cha Global. Wengine ni Mrisho, Ndauka, sixtus na Ally.
Nape akiwa katika ofisi za Global Publishers. Kushoto ni Abdallah Mrisho Wengine kutoka kulia ni, Sixtus Mapunda, Maloto,Ndauka na Mhariri kiongozi wa michezo wa Global Saleh Ally
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akisalimiana na Meneja Mkuu wa Kampuni ya Global Publishers, wachapishaji wa magazeti ya Uwazi, Kiu, Ijumaa na Champion, Abdallah Mrisho, baada ya kuwasili Ofisi za kampuni hiyo,Mwenge, Dar es Salaam. Wapili kulia ni Mhariri Kiongozi wa kampuni hiyo Oscar Ndauka na Mwandishi wa kampuni hiyo Luqman Maloto na wapili kushoto ni Katibu Msaidizi Mkuu wa Idara ya Itikadi na Uenezi, Sixtus Mapunda.
Mhariri wa Citizen wa Bakari Machumu akimpatia maelezo Nape, kuhusu bodi ya uhariri ya gazeti hilo ambavyo hujindaa. Kulia kwa Nape ni Makunga na wengine ni wajumbe wa bod ya uhariri wa gazeti hilo wakiwa kikaoni.
Nape akionyeshwa maandalizi ya gazeti la Mwananchi katika hatua ya mwisho kabla ya kwenda kuchapwa mtamboni. Anayempa maelezo ni Mhariri Mkuu wa Mwananchi Bw. Theophil Makunga.
No comments:
Post a Comment