leo katika katiza katiza zangu za mtaa kwa mtaa,nilipita katika mtaa huu ambao siku chache zilizopita nilileta picha za eneo hili (zicheki hapa) lililokuwa limeharibika vibaya sana.lakini nilipopita leo nimekuta mambo yapo kama yanavyoonekana hapa.
hapa mtaalam wa kuendesha kile kimashine cha kushindilia akiwajibika ili kuhakikisha mtaa unakuwa poa.
hata magari yanapita vyema sasa,sio kama hali ilivyokuwa hapo awali.
No comments:
Post a Comment