huyu rafiki yangu leo almanusura alipukiwe na hii pikipiki,maana ilipiga shoti katika waya za taa ya mbele na kuanza kusambaa huku akiwa katika wendo kuelekea kwenye mishe mishe zake.yaani hapo mnapomuona hana hata hamu na hiyo pikipiki ila kwa kuwa na yake,inambidi aikokote tu kuipeleka kwa fundi.daah hizi pikipiki noma kweli.
Tuesday, October 5, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment