HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, October 7, 2010

Deiwaka Inapoingia dhahma

Leo nimeazima hii ToYo ya jamaa yangu na kwenda nayo katika misele yangu ya mtaa kwa mtaa.lakini yaliyonikuta huko sina hamu nayo tena maana imenikatikia mnyororo sehemu ambayo ni mbaya kama nini na kunibidi niipige kibega mpaka kwa fundi J na hela juu ikanitoka ya kununua mnyororo mpya.ama kweli hii ni dhahma ya deiwaka,maana ningeirudisha hivi mwenyewe angenirushia hata ngumi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad