Sasa hii imezidi kupita kiasi chake. Huyu jamaa anatakiwa ashitakiwe, maana huyu si mnyama afungwaye, sasa jamaa wa mali ya siri wapo wapi? Maana pia ni hatari sana kwa watu. Mambo mengine kwakweli huwa yanatia aibu sana, yaani anatakiwa akamatwe mara moja.
Hii ni Afrika Magharibi Niliona Picha zengine sijui wapi wamepiga hao jamaa na mafisi ila wamewafunga midomo ila kwangu ni badi hatari alafu wana minyani ile mikubwa kama baboon hawa watu hatari pia wanaonesha wana roho mbaya.
watu wengine sio wastaarabu kbs yaani hilo dubwasha na harufu linayotoa sipati picha wananchi barabarani inakuweje
ReplyDeleteIyo ni Daslaam?
ReplyDeleteSasa hii imezidi kupita kiasi chake. Huyu jamaa anatakiwa ashitakiwe, maana huyu si mnyama afungwaye, sasa jamaa wa mali ya siri wapo wapi? Maana pia ni hatari sana kwa watu. Mambo mengine kwakweli huwa yanatia aibu sana, yaani anatakiwa akamatwe mara moja.
ReplyDeleteHii ni Afrika Magharibi Niliona Picha zengine sijui wapi wamepiga hao jamaa na mafisi ila wamewafunga midomo ila kwangu ni badi hatari alafu wana minyani ile mikubwa kama baboon hawa watu hatari pia wanaonesha wana roho mbaya.
ReplyDelete