Thursday, December 3, 2009
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Thursday, December 03, 2009
Ras Nas pamoja na kikosi chake wakiwasili Colombo tayari kwa maonyesho matatu miji ya Colombo na Galle, Sri Lanka, wikiendi hii. Ras Nas anawasilisha Norway na Tanzania vile vile! Toka kushoto Larry Skogheim (besi, Norway), Ras Nas aka Nasibu Mwanukuzi (sauti na ridhim gitaa, Tanzania), Dag Pierre (solo gitaa, Sweden), Chuck Frazier (solo namba mbili, Houston Texas), Uriel Seri (drums, Ivory Coast), Karlos Rotzen (kinanda, Martinique).
 
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Thursday, December 03, 2009
 
Wednesday, December 2, 2009
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Wednesday, December 02, 2009
Men's Shoes
Men's Rabber
Men's Shirt
Under Wear
shirts


MANHTATTAN MEN'S WEAR HOUSE

speciallized in Men's Attire Large collection
Muhimbili Hospital round about near Muhimbili Tax/Daladala Stand Next to NMB BANK opposite to NBC Muhimbili Branch.

TEL:+255 712 532777,
0754 866434,
0715 030090

"All high quality and authetic (Original) from world most famous Designers,Roca Wear,Sean John,Phat Pham,Mecca,Ecko,Nike,Reebok,Adidas,Tommy Hilfiger,Timberland etc.

All size available from little boys to adults,xxxl size are also available

 
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Wednesday, December 02, 2009
 
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Wednesday, December 02, 2009
Wafanyakazi wa Kampuni ya Reli nchini (TRL) wakiandamana kwenda katika ofisi za Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo kudai mishahara yao ya mwezi Novemba jana. Picha na Jackson Odoyo

Wafanyakazi TRL wamvamia mwekezaji

na Theopista Nsanzugwanko,Habari Leo

WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), wamevamia na kuweka kambi katika Ofisi ya Menejimenti ya kampuni hiyo kumshinikiza mwekezaji, Kampuni ya Rites kuwalipa mshahara wa mwezi uliopita.

Hatua hiyo inafuatia mwekezaji huyo kushikilia msimamo wake kuwa hana fedha za kulipa mishahara labda baada ya siku nne au tano.

Jana saa tisa alasiri kulikuwa na ghasia kubwa wakati wafanyakazi hao walipoandamana na kuvamia ofisi hiyo na kutoa upepo kwenye magari matano ya viongozi wa menejimenti lakini waliishia nje bila kufika katika ofisi hizo baada ya kuzuiliwa na polisi wa Kituo cha Reli.

Polisi walitanda katika eneo la ofisi hizo za Menejimenti na kuhakikisha hakuna mfanyakazi yeyote anayefanikiwa kupandisha ghorofani kwenye ofisi za menejimenti.

Awali katika mkutano wao uliofanyika katika karakana za shirika hilo, Katibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Reli Tanzania (TRAWU), Sylvester Rwegasira, aliwatangazia kuwa bado mwekezaji anashikilia msimamo wa kutokuwa na fedha za kuwalipa mishahara.

Baada ya kauli hiyo, wafanyakazi kwa kauli moja walikubaliana kwenda kwenye ofisi ya menejimenti zilizopo upande wa pili na kutoa upepo katika magari yenye namba za usajili T898 AZX, T760 AWG, T923 AVA, T180 AUN na T405 AVL.

Baada ya hatua hiyo, viongozi wa kampuni hiyo ambao ni wawekezaji walijifungia katika Ofisi ya Mkurugenzi na viongozi wa wafanyakazi wakiongozana na Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Reli, Ruth Makelemo, waliingia katika kikao cha dharura.

Baada ya kikao hicho, Rwegasira aliwatangazia wafanyakazi waliokuwa nje ya Ofisi ya Mkurugenzi kuwa bado hakuna jitihada za kuridhisha kupata fedha hizo, hivyo wao viongozi watalala hapo ili kujadiliana huku wakiwasiliana na serikali kupata msaada.

“Tumejitahidi kuwasiliana na serikali na mpaka sasa wako kwenye kikao kuzungumzia suala hili hivyo ninawaomba tuonane kesho (leo) katika maeneo haya haya ya ofisi za menejimenti ili kufahamu jibu tutakalokuwa tumepata kwa muda uliobaki,” alisema Rwegasira.

Wafanyakazi hao waliokuwa wakimshangilia Katibu Mkuu wao walikubaliana na kuali hiyo ya kukutana asubuhi katika ofisi hizo ikiwa na maana kuwa hawataingia kazini leo.

Juzi, wafanyakazi hao waliitisha kikao cha dharura kujadili hatima ya mishahara yao ya Novemba baada ya uongozi wa wafanyakazi kupata barua kutoka kwa mwekezaji akidai hatalipa mishahara hiyo kutokana na kushuka kwa uzalishaji.

Lakini mbia mwenzake ambaye ni serikali inayomiliki asilimia 49 ya hisa amekwishatoa sehemu yake ya mishahara hiyo ambayo ni Sh milioni 522.

Kampuni hiyo imekuwa katika migogoro ya mara kwa mara tangu kuingia ubia kati ya serikali na Kampuni ya Rites ya India inayomiliki asilimia 51 ya hisa.
 
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Wednesday, December 02, 2009
Wafanyakazi wa Kampuni ya Majembe Auction Mart wakikamata Daladala iliyovunja sheria katika kituo cha Daladala cha Mwenge jijini Dar es Salaam jana, baada ya kampuni hiyo kupewa jukumu na Mamlaka ya usafirishaji nchi kavu na majini Sumatra kukamata daladala zinazokiuka taratibu za usafirishaji. Picha na Salhim Shao
 
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Wednesday, December 02, 2009
Mustafa Hassanali with Naomi Campbell in Dar recently during Naomi's Fashion For Relief in Aid of White Ribbon Alliance
Naomi Campbell In Mustafa Hassanali fashion show
Millen Maggese in Mustafa's design during the Arise Africa Fashion week in South Africa
Nigerian super model Oluchi in Mustafa Design during the Arise Fashion week in South Africa


Mustafa Hassanali Invited to Oxybleach India International Fashion Week 2009


The Only Designer from Africa to be invited


Mustafa Hassanali’s First Showing in ASIA and Indian Sub-Continent


Mustafa Hassanali, Tanzania’s Renowned Designer who Just Showcased For Naomi Campbell’s Fashion For Relief in Aid of White Ribbon Alliance Has been Invited to Showcase at the Oxybleach India International Fashion Week 2009 to be held from 3-5 December at Crowne Plaza Hotel, New Delhi, India.


Riya Communications Inc. and Oxybleach – a renowned skin care brand from the House of Dabur – have come together to host Oxybleach India International Fashion Week 2009 (OIIFW ’09).


This never-before fashion event, which also marks the marriage of international fashion with beauty, will bring together 11 international designers and one Indian designer on the Indian runway.


Mustafa will showcase a Strong 30 Piece collection which is Truly Cosmo Tanzanian. “It’s a Fusion of WHAT is East African, The eclectic Mix or Our Vibrancy of Culture and Customs for the Cosmopolitan Market……From the Swahili coast Khanga to the Maasailands Accessories…”


This shall be Mustafa Hassanali First Showcase in ASIAN continent. “Africa is NO LONGER a Dark Continent and it’s an Individuals effort to promote This Beautiful, Culturally Rich Continent to the World, and what better a platform than India International Fashion Week in India’s Capital City New Delhi” adds Hassanali


Mustafa Hassanali Showcase is scheduled on 4 December 2009 at 1700HRS at Crowne Plaza Gurgaon, New Delhi.


ABOUT MUSTAFA HASSANALI


Mustafa Hassanali is renowned for its elegance, style, flamboyancy, glamour and glitz that has made it one of the most sought after fashion houses in Tanzania

He has showcased in Africa and Europe, which has been a great influence on his approach to the world of Fashion in Tanzania. It is his exquisite handwork, detailed beadwork, and creative ensemble embellishments that make its work alive. .


His showing at the Naomi Campbell’s Fashion For Relief, Arise Africa Fashion week 2009, Durban & Cape Town Fashion Weeks, Vukani Fashion Awards in Pretoria, Miss Ethiopia Beauty Pageant, Mediterranean Fashion Festival in Sicily, Italy; M’Net Face of Africa, Mozambique, Uganda & Kenya Fashion Weeks brought him immense adulation.


His work with international Models like Naomi Campbell, Oluchi Omweagba, Millen Magese and other International Celebrities has revolutionized the perception of the fashion scenario from Tanzania


From corporate wear, traditional costumes, or even a Wedding Ensemble, Mustafa Hassanali handles each piece with great care and gives the utmost attention to whole outfit. Each design and Outfit is Unique…. A duplicate is NEVER created.

That is what makes it uniquely, a Truly Mustafa Hassanali Affair.


About Oxybleach India International Fashion Week 2009


Oxybleach India International Fashion Week 2009 is offering a perfect opportunity for designers from across the globe to come together in cultural unanimity, and to go beyond the limitless boundaries of fashion, beauty and style as it conjures up a new world, a stimulating and enthralling fashion experience, the likes of which has never before been seen or experienced in India.


It will be a traveling showcase of beauty, glamour, style, culture, grace, fashion & futuristic technology that is bound to gain India recognition, not only as the Gateway to Asia, but as a major, primary International Fashion destination. OIIFW ’09 brings together enigmatic ensembles with exquisite designs that will speak volumes about the class and quality of our featured designers and their exhilarating fashion creations.


OIIFW ’09 is a platform for the biggest names of the International fashion industry to come together and showcase their talent. Top-of-the-line designers from the USA, Tanzania, Spain, Israel, China, Peru, Australia, Pakistan, Norway, Dubai and India are all geared up to burn the Indian runway.
 
Tuesday, December 1, 2009
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Tuesday, December 01, 2009
Mshindi wa shindano la Zaburi gospel Search 2009 kuibuka na mchuma wa milioni nane


Kampuni ya Flora Promotions ya jijini Mwanza imeaandaa shindano la kutafuta, kukuza na kuwezesha vipaji vya waimbaji wa muziki wa Injili liitwalo ZABURI GOSPEL SEARCH 2009, ili kueneza neno la mungu kupitia nyimbo.

Akizungumza mapema leo asubuhi na vyombo vya habari jijini Mwanza ndani ya ukumbi wa Nyumbani Hotel,Bi Flora Lauwo (pichani kulia) amesema kuwa kipindi hicho amekibuni yeye mwenyewe na amefuata taratibu zote za uendeshaji wa shindano hilo kupitia taasisi za sanaa hapa nchini.

“ Suala la zawadi liko wazi kabisa, ni kwamba mshindi wa kwanza atajinyakulia gari aina ya Vistar yenye thamani ya milioni nane,mshindi wa pili ataibuka na seti ya vyombo vya muziki vyenye thamani ya shilingi milioni moja na nusu kutoka kampuni ya Samila Mobile Sound,mshindi wa tatu atajinyakulia kitita cha shilingi laki moja,lakini pia mshindi wa kwanza mpaka tano watarekodiwa albamu moja moja na studio za Habari Maalum” alisema Flora.

Flora ambaye ndiye mkurugenzi wa kampuni ya Frola Promotions amesema kuwa,kwa mara ya kwanza mwaka 2009, kipindi cha ZABURI GOSPEL SEARCH kitaanzia kanda ya Ziwa kwa kutafuta washiriki kila mkoa na kuchukua waimbaji watano ambapo jumla watakuwa 20, “ washiriki hawa wataingia kambini kwanza,ili kuanza michuano itakayo rushwa kupitia tv na wananchi kuwapigia kura wakisaidiana na majaji kutafuta mwimbaji bora.”alisema Flora.

“ ZABURI GOSPEL SEARCH 2009 itakuwa na matamasha makubwa matatu moja litakuwa ni robo fainal litakalofanyika mkoani Shinyanga tar,25/12/2009 na nusu fainali itakuwa Musoma mkoani Mara tar,27.12.2009, na fainali yenyewe itafanyikia jijini Mwanza Januari 1 2010, siku ya mwaka mpya”alieleza Bi Flora..
Bi Flora alimaliza kwa kusema kuwa lengo lao ni kukuza na kuwezesha waimbaji wa muziki wa injili na kuwatangaza Kitaifa na Kimataifa, ili waweze kijipatia kipato na kufaidika kwa namna moja ama nyingine kama wasanii wengingine.

Mwisho
 
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Tuesday, December 01, 2009
biashara popote,biashara ni ubunifu na biashara ni ya aina yoyote ile mradi mkono uelekee kinywani,hapa ni vidumu tuu.
 
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Tuesday, December 01, 2009
hakuna ishara ya aila yeyote ile inayoonyesha kama zimesimama
hizi ni baadhi ya ndinga zinazobeba taka hapa mjini na kiukweli ni gari zinazopendeza kimuonekano wa nje lakini ndani mungu ndie anaejua maana haziongeleki kwa jinsi zilivyo mbovu,sasa ona kama hapa zilipo zimesimama katikati barabara tena barabara yenyewe ni kubwa na wala si ya uchochorini,halafu hakuna ishara yoyote ya kuonyesha kama zimesimama kwa sababu gani.je anaekuja nyuma atajuaje kama hizi gari hapo zilipo zimeharibika na wakati hajapewa tahadhari toka huko atikako??
 
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Tuesday, December 01, 2009
 
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Tuesday, December 01, 2009
jamaa wanaofanya kazi ya uchongaji wa mlima Kitonga wakiwa ndani ya winchi wakiendelea kipiga mzigo.
Moja ya mashine zinazotumiwa katika uchongaji wa mlima wa Kitonga ili kutanuliwa kwa barabara ipitayo katika mlima huo kikipiga mzigo.
 
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Tuesday, December 01, 2009

Kama upo Kazini au Nyumbani tembelea
kwa ngoma mbali mbali kali na nzito toka Tanzania ili uburudishe na ukonge roho yako kwa idadi ya miziki zaidi ya 1000+

Kama ni kijana, Umri wa Kati, mzee na upo Tanzania au nje ya Tanzania MK Music Galaxy ni chaguo lenu wote, Kuna miziki kama Bongo Flava, Bongo Dance, Taarab, Zilipendwa na Nyimbo za Injili.

Karibu kusikiliza ngoma kali za Tanzania na uburudike roho yako. MK Music Galaxy hatufuti Miziki ili kuongeza mingine, MK Music Galaxy tunaongeza Miziki kila siku na kuutangaza Mziki huu wa Kitanzania.

Kwa wanamziki chipukizi (underground) na wale wakongwe mnaweza kutuma kazi zenu hapa na kuweza kujitangaza na kuutangaza Mziki huu wa Tanzania.

Kwa test bonyeza hapa kula song hizi Kali. Au Tembelea MKMG kusikiliza miziki zaidi ya 1000


1:


2:


3:


3b:


4:


5:


6:



Ukipata habari hii mtumie Rafiki Yako.
Sambaza habari hii, Tangaza Mziki wa Tanzania.

Daima tupo Pamoja!

MK Music Galaxy
Exploring The Tanzanian Music.
 
Monday, November 30, 2009
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Monday, November 30, 2009
 
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Monday, November 30, 2009
Mtoto Sabrina Juma akiwa katika pozi za picha.
Mtoto Sabrina akipokea zawadi toka kwa Mama yake anaefahamika kwa jina la Amina.
Mtoto Sabrina akipokea zawadi toka kwa mwalimu wake wa Darasa.Sabrina amefanikiwa kupiga hatua moja mbele baada kumaliza masomo yake ya top class na kwenda Standard 1 katika shule ya African Nursery & Primary school iliyopo tabata chang'ombe.
baadhi ya wanafunzi wa shule ya African Nursery & Primary school iliyopo tabata chang'ombe wakiwa wamekaa wakisubiria kulamba nondozz zao baada ya kuhitimu elimu ya Top class na kuendelea na Standard one,ambapo Sabrina Juma ni mmoja kati ya wahitimu haoWakuu wa shule ya African Nursery & Primary school wakiwa wamekaa meza kuu.
 
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Monday, November 30, 2009
Mkuu wa Masoko na Utekelezaji Bahati Singh akimkabidhi jezi Diwani Biku wa Nyamagana.
Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya bia ya Serengeti wakiwa wamepozi kwa pamoja,hivi karibuni jijini Mwanza.

SERENGETI BREWERIES LIMITED YADHAMINI KOMBE LA NYAMAGANA KWA SH. MILLIONI 10.



Kampuni ya bia ya Serengeti leo imekabidhi hundi ya shilingi milioni 10 kwa waandaaji wa kombe la nyamagana la mpira wa miguu.


Ndugu Bahati Singh Mkuu wa Masoko na Utekelezaji alikabidhi hundi ya Shilingi milioni kumi pamoja na vifaa vya michezo vikiweno jezi, vikombe na medali katika hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika nyumbani hotel jijini Mwanza, Makabidhiano hayo ambayo yalihudhuriwa na Meneja mauzo wa kanda ya ziwa Bwana Avinash Maggirwar na Meneja Masoko kanda ya ziwa Bwana Yohana Manoli.


Akizungumza katika hafla hiyo Bwana Bahati Singh alisema’ NI heshima tele tena SBL kudhamini mashindano haya katika jiji la Mwanza kwa kuwa tuna kiwanda chetu na malengo makubwa ya SBL ni kukuza kiwango cha mpira wa miguu Nchini na pia katika mikoa ambayo tunaihudumia kijamii.


Mchango wetu wa leo ni kupitia zao la Premium Serengeti Lager tunaleta mahusiano mazuri na wanachi wa nyamagana na kuwaleta pamoja kwa njia ya mpira wa miguu na kuleta Amani, Urafiki, UPendo na Umoja kwa watu wa Mwanza


Pamoja twaweza sema Asante kwa jamii ya watu wa Mwanza kwa kuunga mkono SBL na hii ni asilimia na kusema asante tena watu wa Mwanza.


Teddy Mapunda

MENEJA MKUU MAHUSIANO JAMII NA MAWASILIANO

 
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Monday, November 30, 2009
University of Oslo, Norway - The International Summer School 2010 (June 26 - August 6)
http://makulilo.blogspot.com/2009/11/erasmus-mundus-msc-in-photonics-belgium.html

China Scholarships for International Graduate Students 2010
http://makulilo.blogspot.com/2009/11/china-scholarships-for-international.html

MSc Scholarships in African Studies, Oxford University
http://makulilo.blogspot.com/2009/11/msc-scholarships-in-african-studies.html

Hamburg International Graduate School for the Study of Regional Powers, GERMANY
http://makulilo.blogspot.com/2009/11/hamburg-international-graduate-school.html

Master of Agricultural development and management of natural resources
http://makulilo.blogspot.com/2009/11/ma-programme-euroculture.html

Master's course: Applied Ethics, Erasmus Mundus
 
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Monday, November 30, 2009
Fatma Abdulahi (20) SOMALIA
Dalysha Nirena Doorga (21) MAURITIUS
Nediat (21) ETHIOPIA
Tabitha (20) KENYA
Asli Osman Mahamud (18).JPG
Rebecca Getachew (23) ETHIOPIA
Fatma Abdulahi (20) SOMALIA
Queen Belle Monique (23) BURUNDI


MISS EAST AFRICA 2009


Warembo wanaoshiriki katika mashindano ya kimataifa ya urembo ya Miss East Africa 2009 wataanza kuwasili Nchini kuanzia wiki hii tayari kwa mashindano hayo yanayotarajiwa kufanyika tarehe 18 mwezi wa 12 katika ukumbi wa mlimani city jijini Dar es salaam.


Aidha, warembo watakaoiwakilisha Tanzania katika mashindano hayo wanatarajiwa kutangazwa kesho kutwa baada ya kamati maalumu iliyopewa jukumu la kuratibu zoezi hilo kukamilisha kazi yake.

Mashindano ya Miss East Africa mwaka huu yanatarajiwa kuwa na mvuto wa aina yake kutokana na Nchi zinazoshiriki mashindano hayo kuchagua warembo wenye viwango vya hali ya juu ili kuziwakilisha katika mashindano ya mwaka huu.


Miss East Africa 2009 itashirikisha warembo kutoka katika Nchi za Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Ethiopia, Eritrea, Somalia, Djibouti, na Mauritius ambazo zote zimeshathibitisha ushiriki wao.

Mashindano hayo makubwa ya urembo kwa ukanda huu wa Africa yanaandaliwa na kumilikiwa na kampuni ya Rena Events Limited ya jijini Dar es salaam.


Miongoni mwa makampuni yanayodhamini mashindano hayo kwa mwaka huu ni pamoja na Kunduchi Beach Hotel & Resort, EATV, Kings & Queens Worldwide, CMC Automobiles Limited na AKO Catering Services Ltd.


By,

Rena Callist,

CHAIRMAN,

MISS EAST AFRICA PAGEANT

 
Sunday, November 29, 2009
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Sunday, November 29, 2009
Bajaj zinazidi kupeta sasa hivi katika jiji letu hili la Dar,maana kila kina zipo na gharama zake ni za poa kweli hasa kwa sisi kina nanihii.
 
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Sunday, November 29, 2009
Rogers Mtagwa

Baada ya kupoteza pambano lake kiutatanishi Oktoba 10 dhidi ya Juan Lopez na kukataliwa pambano la marejeano licha ya kuonesha uwezekano mkubwa wa "kumuumbua" Lopez, bondia mTanzania aishiye Philadelphia Rogers "The Tiger" Mtagwa atapanda ulingoni Jan 23, 2010 kupambana na bondia anayefanya vema saana na nyota ing'aayo toka Cuba Yuriorkis Gamboa.

Pambano hilo litakalopiganiwa New York na kuonekana kupitia HBO, litakuwa ni la kuwania mkanda wa Gamboa wa uzito wa Unyoya (featherweight) unaotambuliwa na Chama cha Ndondi Ulimwenguni (WBA). Usiku huohuo na katika ukumbi huohuo, Juan Manuel Lopez ambaye alipata ushindi dhidi ya Mtagwa atapambana na Steven Luevano kuwania mkanda wa Shirikisho la Ndondi Ulimwenguni (WBO) unaoshikiliwa na Luevano.

Iwapo Mtagwa atavuka kigingi hiki kigumu (kulingana na ubora na upiganaji wa Bwana mdogo Gamboa) atakuwa amejiweka katika mazingira mazuri ya kurejea ulingoni na Lopez kama wataweza kuafkiana katika kuunganisha mikanda kwani yote ni ya uzito mmoja.
Hapa chini ni Video ya pambano la Mtagwa la mwezi uliopita
http://www.youtube.com/watch?v=yV09IYeElHI


Kila la kheri katika maandalizi yako Kaka Mtagwa.

 
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Sunday, November 29, 2009
 
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Sunday, November 29, 2009
yaani hawa jamaa utafikiri wakikaa katika foleni wanaweza kufa,sijui wananini??
 
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Sunday, November 29, 2009
dogo akiwa kajilaza pembezoni mwa barabara ya Morogoro,jana mchana
na huyu ndio yuko job kwa sasa maana ilaelekea alikuwa alosto sana
mwingine ndio muongozaji katika kuomba,hawa wote ni watoto wenye umri kati ya miaka 6-10 ambapo kwa kawaida ni umri unaotakiwa wawepo mashuleni,lakini wao ndioo kwanza wako lodini kusaka mahela.hii imekaaje wandugu??
 
Saturday, November 28, 2009
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Saturday, November 28, 2009
jamaa wakielekea zao pande za Bichi kujimwaya mwaya ikiwa ni katika kuisherehekea sikukuu ya idd el hajj.
 
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Saturday, November 28, 2009
mdau Albert Lweja akiwa ni mwenye furaha baada ya kulamba Nondozz yake ya Sheria katika Chuo kikuu cha Dar Es Salaam.
Albert Akiwa na Marafiki zake pamoja na wadogo zake
nami nilipata picha moja ya kumbukumbu na rafiki yangu Huyu ambaye tukuwa pamoja tangu enzi hizooooooo za nanihii kule nanihii.
hii ndio shida ya kupenda picha,unasinzia lakini wapi unataka lazima na wewe uwemo tuu.hapa nipo na William Lweja ambaye ni mdogo wake na Albert baada ya kusherehekea kimtindo pande za home kwa kina Albert.
 
Friday, November 27, 2009
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Friday, November 27, 2009

Napenda kutumia fulsa hii kuwatakia heri na fanaka ya sikukuu ya Eid El Hajj ndugu zangu waislamu na hata wasio waislam popote pale walipo katika Dunia hii kwa kuungana kwa pamoja kuisherehekea sikukuu hii,tunapaswa kumshukuru sana Mwenyezi Mungu na kuwaombea Dua wale ndugu zetu waliojaaliwa kwenda Makka kukamilisha ibada ya Hijjah,kwani ni wengi wangependa kwenda Kuhiji Makka,ila bado Mwenyezi Mungu hajawajaalia.

hivyo tunapaswa kumshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kutujaalia kufikia siku hii ya Eid El Hajj na pia tunapaswa kuisherehekea sikukuu hii kwa amani na utulivu mkubwa na tujitahidi tusifanye maasi katika siku hii .nawatakia kila la kheri katika hilo Inshaa-Allah


Eid Mubarak!

-Othman Michuzi
 
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Friday, November 27, 2009
Mambo!
Naomba nichuke nafasi hii kwa niaba ya uongozi na wanajumuiya nzima ya wanafunzi wa Hyderabad kwa moyo wenu wa upendo na ushirikiano.
Tunasema asante sana maana bila nyie huwenda taarifa za msiba wa mwenzetu Bernard Lema zisingesambaa kwa kasi na kuwafikia ndugu, jamaa na marafiki kokote kule walipo.
Mungu awazidishie sana.

Wenu kwenye ujenzi wa taifa,
Daniel John Masimbusi (Senator),
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa TSAH.
 
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Friday, November 27, 2009
"Come and work with us for mutual benefit" - said the President.
Full story at:
http://bit.ly/8nG44q
Video at:
http://bit.ly/6CxkCL
Subi:
wavuti.com
 
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Friday, November 27, 2009
msimu wa mananasi umeshaanza na sasa hivi kila kona unayopita hapa jijini hukosi kukutana na mmoja wa wauzaji wa matunda haya,ila jamaa wanayauza bei ghali kweli sasa hivi,sijui kwa sababu ni mwanzo wa msimu??
 
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Friday, November 27, 2009
wanaume wakiwa kazini huku wakiwa wamesheheni lumbesa la matenga ya nyanya katika barabara ya samora avenue,mchana huu.
 
Idadi ya watu